Acts 7:58-59

58 aWakamtupa nje ya mji, wakampiga kwa mawe. Nao mashahidi wakaweka mavazi yao miguuni mwa kijana mmoja ambaye jina lake aliitwa Sauli.

59 bWalipokuwa wakimpiga mawe, Stefano aliomba, “Bwana Isa, pokea roho yangu.”
Copyright information for SwhKC